..............................

Leo nainjoy kwa upendo wako kipenzi,

nafarijika kwa rahara unazonipa bila kinyongo na simanzi,

Hakika kwako umeniteka siwezi kufuru mwenyezi,

I love you kwenye maisha yangu kuacha siwezi,

Niamini nakupenda,

nitakujali na kunitunza kipenzi...

Kwako mi SAwa na mfungwa...na we ndo gerezan langu la mapenzi.


Ninafarijika ninapo liona tabasamu lako,

moyo wanidundadunda ninapokua karibu y'ako,

mpenzi usiwe na
shaka nimeumbwa kwa aji y'ako, Mifupa waachie paka..nifaidi mi ndo mnofu wako,

Hawapendi tukipata roho zawawaka moto,

DAIMA sitakutupa mi ndo wa ubavu wako.

Usisikilize kelele za bata ...

We fata mambo yako.

Ila usisahau mpenzi ...

upendo ndo kila kitu kwako.

0 Comments